Saturday, August 3, 2013

TAAARIFA YA MSIBA--AGE KAUZENI HATUNAE TENA

Mwanamuziki wa zamani wa Biashara Jazz Band na JUWATA Jazz Band Agae Kauzeni hatunae tena. Kwa maelezo ya Mwanamuziki Bonzo Kwembe, marehemu amekuwa anaugua kwa kipindi cha mwezi mmoja.Agai amefariki leo Visiga Kibaha. Na mipango ya mazishi inafanyika ili mazishi yawe kesho Kibaha Mnemera. Mungu Amlaze pema peponi

No comments:

Post a Comment