Friday, August 16, 2013

KICHEKESHO..MWANAMUZIKI NA NJAA ZAKE

Mwanamuziki mmoja alikuwa na tabia ya kukuta mkewe kampikia chakula kila alipotoka kazini usiku. Siku moja mkewe akawa anaumwa hakupika hivyo jamaa aliporudi hakukuta chakula akalazimika kulala njaa. Katika usingizi akaota ankula ugali  wa nguvu. Asubuhi alipoamka akakuta katafuna kona nzima ya godoro

No comments:

Post a Comment