Sunday, August 11, 2013

MKUTANO WA WANAMUZIKI JUMANNE 13 AGOSTI 2013 BASATA

MTANDAO wa Wanamuziki utakuwa na  mkutano  wa wanamuziki siku ya Jumanne tarehe 13 kuanzia saa 4 hadi saa 6 pale BASATA Ilala Sharif Shamba.kati ya mambo yatakayofanyika ni kuhamasisha uandikishaji wa wanachama wapya, na pili kupata taarifa ya mpango wa Bima ya Afya kwa wanamuziki. Wanamuziki wote na wadau wengine wanaofanya kazi katika tasnia hii ya muziki, wakiwemo pia waalimu wa muziki, producers, wacheza shoo, mameneja na kadhalika

No comments:

Post a Comment