Wednesday, September 2, 2015

WANAMUZIKI WACHANGAMKIA KUPATA BIMA YA AFYA

Hamis Mnyupe wa Msondo akijaza fomu za Bima ya Afya

Kinuka, mpiga bezi wa kujitegemea na producer akijaza fomu za Bima ya Afya

Goddy Mkude mpiga gitaa wa B Band akijaza fomu za Bima ya Afya




Geophrey Kumburu mpiga kinanda na producer akiwa na kadi yake ya Bima aliyoipata karibuni


Simon Mwamkinga mpiga kinanda na kiongozi  wa Rungwe Band akiwa na kadi yake ya Bima ya Afya aliyoipata karibuni

No comments:

Post a Comment