Monday, September 21, 2015

DAVID NG'ASI MWANACHAMA WA MTANDAO WA WANAMUZIKI AFIWA NA BABA YAKE

MWANACHAMA WA MTANDAO WA WANAMUZIKI ambaye ni mpiga piano na mwalimu wa piano amefiwa na baba yake mzazi Mzee Aloysi Ng'asi nae alikuwa mwalimu wa muziki aliyeheshika sana katika nyanja hiyo.Mzee Ng'asi aliyezaliwa huko Iringa amezikwa Kinondoni
David akisimika msalaba kwenye kaburi la baba yake

No comments:

Post a Comment