Monday, September 21, 2015

DOUBLE M YAANZA KUTIKISA MSUMBIJI

KUNDI  la Double M chini ya Muumin Mwinyjuma, limealikwa Msumbiji kwa mwezi mzima, na katika wakati huo kundi litashiriki katika sherehe za miaka 51 ya Vita vya Ukombozi wa nchi hiyo. Wanamuziki hawa ambao ni wanachama wa Mtandao wa Wanamuziki walipitisha barua yao ya taarifa ya kwenda huko na hivyo Mtandao ukatoa taarifa Baraza la sanaa La Taifa kama inavyostahili. Waliomo katika msafara huo ni pamoja na kiongozi wa kundi Muumin Mwinyjuma,  maarufu kwa jina la KOCHA, na wanamuziki wengine 16.
1.     Mwinjuma Muumin Buguza- Kiongozi wa Bendi-Muimbaji
2.     Omary Kisila- Kinanda
3.     Hamza S Waninga- Drums
4.     Imma Keffa –Bass Guitar
5.     Emmanuel Namwinga- Rhythm guitar
6.     Amina R Juma –Muimbaji
7.     Veronica D Buzeri –Dansa
8.     Neema Kawambwa-Dansa
9.     Stamili  Hamis –Dansa
10. Greyson Semsekwa – Rapper
11. Sharey Aboubakar-Muimbaji
12. Revina Mzinja -Dansa
13.  Salma Shaaban –Dansa
14. Afande Muhamada-Fundi Mitambo
15. Omary Maulid –Fundi Mitambo
16. Saleh Kupaza-Muimbaji
17. Dogo Rama-Muimbaji











Habari toka TAMUNET- Mtandano wa Wanamuziki Tanzania

No comments:

Post a Comment