Sunday, April 13, 2014

MZEE MUHIDIN HATUNAE TENA


Mwanamuziki nguli na muimbaji wa miaka mingi Mzee Muhidi Maalim Gurumo hatunae tena. Mzee Gurumo amefariki alasiri hii katika hospitali ya Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa matibabu. Mungu amlaze Pema Peoni Amin

No comments:

Post a Comment