Sunday, April 13, 2014

MAZISHI YA MZEE MUHIDIN GURUMO KUWA KESHO JUMANNE -15/4/2014

Mazishi ya Mzee Gurumo kuwa kesho kijiji alichozaliwa huko Masaki. Mwili wa Mzee Gurumo utaondoka kwake Mabibo kesho asubuhi saa nne kuelekea kwenye Masaki

No comments:

Post a Comment