Wednesday, March 5, 2014

MTANDAO KUFANYA WARSHA YA VIONGOZI WA BENDI

Kamati ya uongozi ya Mtandao wa wanamuziki(TAMUNET), leo imefanya kikao na katika yaliyopangwa na kufanya warsha ya siku moja ya viongozi wa bendi kujadili changamoto mbalimbali zinazozikuta bendi katika zama za sasa. Tarehe ya warsha hii inategemea makubaliano na BASATA ambao watakuwa kiungo muhimu katika warsha hii. Lakini warsha hii lazima itakuwa mwezi huu March kabla ya mkutano mkubwa wa wanamuziki mara baada ya warsha hiyo.

No comments:

Post a Comment