Wednesday, July 31, 2013

MWENYEKITI NA MWEKA HAZINA WA TANZANIA MUSICIANS NETWORK WAKITIA SAINI MAKUBALIANO YA UTAFITI KUHUSU HALI YA MUZIKI TANZANIA

BEST AC imeuwezesha Mtandao wa muziki Tanzania kufanya utafiti wa kina na kisha kuja na majibu ya matatizo ya wanamuziki wa Tanzania hasa katika swala la Hakimiliki. Katika makubaliano hayo Mtandao utapata dola 49,000, zitakazolazimika kupatikana kwa ripoti katika muda wa miezi mitatu ijayo
Hans muwakilishi wa BEST AC

Mwenyekiti wa Mtandao John Kitime akitia sahihi makubaliano hayo kwa niaba ya Mtandao

Asha Warsama Salvador Mweka hazina akitia sahihi kwa niaba ya Mtandao

No comments:

Post a Comment