Tuesday, July 30, 2013

MKUTANO WA WANAMUZIKI WOTE BASATA

Mkutano wa wanamuziki kuweko Jumatano tarehe 31 July 2013, BASATA, kuanzia saa nne hadi saa sita. Katika mkutano huo ajenda kubwa itakuwa kutambulisha Mtandao upya kwa wanamuziki na kupeabna taarifa za hali halisi, na kisha kupeana majukumu, wanamuziki wa kila aina aina ya muziki tunakaribishwa.

No comments:

Post a Comment