Saturday, March 19, 2016
WAZIRI NAPE NNAUYE KUKUTANA NA WANAMUZIKI JUMATATU 21 MARCH 2016
KATIKA
hatua ya kujua mafanikio na changamoto za muziki wa dansi na hatimae
kupanga yajayo, Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo atakutana na
wanamuziki wa Dar es Salaam katika ukumbi wa Vijana Social Hall
Kinondoni siku ya Jumatatu kuanzia saa nne asubuhi. Hii itakuwa ni mara
ya kwanza kwa miaka mingi kwa Waziri wa Utamaduni kufanya mkutano wa
namna hii na wanamuziki.
Sunday, February 21, 2016
LEO NDIO SIKU YA MAZISHI YA RAFIKI YETU NA NDUGU YETU FRED CAMILLIUS MOSHA
RIP FRED MOSHA |
RATIBA YA MAZISHI NI KAMA IFUATAYO;
- SAA 4-5 MWILI UTAPELEKWA NYUMBANI KWAKE CHAMAZI UKITOKEA MUHIMBILI
- SAA 7 MWILI KUPELEKWA KANISA LA RC CHANG'OMBE KWA MISA YA MAZISHI
- BAADA YA HAPO SAFARI ITAANZA YA KUELEKEA MAKABURI YA KINONDONI KWENYE MAKAZI YAKE YA MILELE
- MUNGU MALAZE PEMA PEPONI FRED MOSHA
Tuesday, January 19, 2016
SIZONJE -KIBAO KIPYA CHA MRISHO MPOTO AKISHIRIKIANA NA BANANA ZOLLO
Mrisho Mpoto- mjomba amekuja na kibao kipya kabisa Sizonje, kibao ambacho kamshirikisha mwanamuziki Banana Zollo, kisikie hapa
Subscribe to:
Posts (Atom)