Mwanamuziki
wa zamani wa Biashara Jazz Band na JUWATA Jazz Band Agae Kauzeni hatunae
tena. Kwa maelezo ya Mwanamuziki Bonzo Kwembe, marehemu amekuwa anaugua
kwa kipindi cha mwezi mmoja.Agai amefariki leo Visiga Kibaha. Na
mipango ya mazishi inafanyika ili mazishi yawe kesho Kibaha Mnemera.
Mungu Amlaze pema peponi
No comments:
Post a Comment