MKUTANO WA WANAMUZIKI JUMANNE 13 AGOSTI 2013 BASATA
MTANDAO wa Wanamuziki utakuwa na mkutano wa wanamuziki siku ya Jumanne
tarehe 13 kuanzia saa 4 hadi saa 6 pale BASATA Ilala Sharif Shamba.kati ya mambo yatakayofanyika ni kuhamasisha uandikishaji wa wanachama wapya, na pili kupata taarifa ya mpango wa Bima ya Afya kwa wanamuziki. Wanamuziki wote na wadau wengine wanaofanya kazi katika tasnia hii ya muziki, wakiwemo pia waalimu wa muziki, producers, wacheza shoo, mameneja na kadhalika
No comments:
Post a Comment