Ndugu zangu baada ya kuufanyia mixing upya sasa naachia rasmi ngoma
yangu mpya SIUMWI SIKU YA MSHAHARA nikiwa na WATENGWA na imetengenezwa
ARUSHA chini ya DAZ NALEDGE naombeni msaada wenu.Ni aina ya Hip-hop
ngumu ambayo sijawahi kufanya miaka yangu yote miaka 18 kwenye muziki
No comments:
Post a Comment