1. Mwenyekiti - John F Kitime
2. Makamu Mwenyekiti - Rashid Pembe
3. Katibu Mkuu - Innocent Nganyagwa
4. Katibu Mkuu Msaidizi - Geophrey Kumburu
5. Mweka Hazina - Asha Warsama
6. Wajumbe - David Ng'asi, Abdul Salvador
TAMUNET ni chama ambacho malengo yake ni kutetea haki za wanachama wake kama wafanyakazi katika tasnia, na kuwa chama rasmi cha wafanyakazi waliomo katika tasnia ya muziki (Musicians Union). Uongozi uliopo unajipanga kuhakikisha chama kinafanya kazi yake ambayo imo katika katiba yake.
Picha za uongozi mpya wakiwa katika kikao
No comments:
Post a Comment