KATIKA
hatua ya kujua mafanikio na changamoto za muziki wa dansi na hatimae
kupanga yajayo, Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo atakutana na
wanamuziki wa Dar es Salaam katika ukumbi wa Vijana Social Hall
Kinondoni siku ya Jumatatu kuanzia saa nne asubuhi. Hii itakuwa ni mara
ya kwanza kwa miaka mingi kwa Waziri wa Utamaduni kufanya mkutano wa
namna hii na wanamuziki.
No comments:
Post a Comment