Mwanamuziki Chiwoniso Maraile wa Zimbabwe amefariki dunia baada ya kuugua kwa matatizo ya mapafu. Chiwoniso ambaye amewahi kuja Tanzania na kurekodi katika studio za Marimba Studio akifanya kazi na wanamuziki wa hapa nchini kama Karola Kinasha, Norma Bikaka, Bob Rudala, alikuwa mahiri sana kwa chombo chake cha Mbira na kuimba pia.
Mungu amlaze pema mwenzetu
Mungu amlaze pema mwenzetu
No comments:
Post a Comment